He lied that it was just a normal business transaction, My God! later found out it was a………
Rafiki yake alimwingiza kwenye mtego ambao ulimsababishia matatizo mengi yakiwemo kutumikia kifungo gerezani! Ndio maana ni muhimu kuwa makini na marafiki tunaojihusisha nao ili kuepuka mitego mingine! Ashukuriwe Mungu kwani aliingilia kati na sasa Bi Rachel Mutheu yuko huru!